Zaburi 40:1 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC1 Nilimngoja BWANA kwa subira, Akaniinamia na kusikia kilio changu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema1 Nilimngojea Mwenyezi-Mungu kwa uvumilivu, akanielekea na kukisikia kilio changu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND1 Nilimngojea Mwenyezi-Mungu kwa uvumilivu, akanielekea na kukisikia kilio changu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza1 Nilimngojea Mwenyezi-Mungu kwa uvumilivu, akanielekea na kukisikia kilio changu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu1 Nilimngoja Mwenyezi Mungu kwa saburi, naye akanijia na kusikia kilio changu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu1 Nilimngoja bwana kwa saburi, naye akaniinamia, akasikia kilio changu. Tazama sura |