Zaburi 4:8 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC8 Katika amani nitajilaza na kupata usingizi mara, Maana Wewe, BWANA, peke yako, Ndiwe unijaliaye kukaa salama. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema8 Nalala na kupata usingizi kwa amani; ee Mwenyezi-Mungu, wewe peke yako waniweka salama. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND8 Nalala na kupata usingizi kwa amani; ee Mwenyezi-Mungu, wewe peke yako waniweka salama. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza8 Nalala na kupata usingizi kwa amani; ee Mwenyezi-Mungu, wewe peke yako waniweka salama. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu8 Nitajilaza chini na kulala kwa amani, kwa kuwa wewe peke yako, Ee Mwenyezi Mungu, waniwezesha kukaa kwa salama. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu8 Nitajilaza chini na kulala kwa amani, kwa kuwa wewe peke yako, Ee bwana, waniwezesha kukaa kwa salama. Tazama sura |