Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Zaburi 39:8 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

8 Uniokoe kutoka kwa maasi yangu yote, Usinifanye niwe wa kulaumiwa na mpumbavu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

8 Uniokoe katika makosa yangu yote; usikubali wapumbavu wanidhihaki.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

8 Uniokoe katika makosa yangu yote; usikubali wapumbavu wanidhihaki.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

8 Uniokoe katika makosa yangu yote; usikubali wapumbavu wanidhihaki.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

8 Niokoe kutoka makosa yangu yote, usinifanye kuwa dhihaka ya wapumbavu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

8 Niokoe kutoka kwenye makosa yangu yote, usinifanye kuwa dhihaka ya wapumbavu.

Tazama sura Nakili




Zaburi 39:8
19 Marejeleo ya Msalaba  

Uniondolee laumu niiogopayo, Maana hukumu zako ni njema.


Nafsi yangu inamngoja Bwana, Kuliko walinzi waingojavyo asubuhi, Naam, walinzi waingojao asubuhi.


Yeye atamkomboa Israeli na maovu yake yote.


Ee BWANA, kwa ajili ya jina lako, Unisamehe uovu wangu, maana ni mwingi.


Utazame mateso yangu na taabu yangu; Unisamehe dhambi zangu zote.


Nao wananifumbulia vinywa vyao, Husema, Ewe! Ewe! Jicho letu limeona.


Umetufanya kuwa lawama kwa jirani zetu, Mzaha na dhihaka kwao wanaotuzunguka.


Ee MUNGU, Mungu wa wokovu wangu, Uniponye na umwagaji wa damu, Na ulimi wangu utaiimba haki yako.


Atanitumia msaada toka mbinguni na kuniokoa, Atawaaibisha wale wanaotaka kunishambulia. Mungu atazituma Fadhili zake na kweli yake.


Tutakapozidiwa na matendo maovu Wewe utatuondolea uovu wetu.


Tumekuwa lawama kwa jirani zetu, Mzaha na dhihaka kwao wanaotuzunguka.


Hao makuhani, wahudumu wa BWANA, na walie Kati ya patakatifu na madhabahu, Na waseme, Uwaachilie watu wako, Ee BWANA, Wala usiutoe urithi wako upate aibu, Hata mataifa watawale juu yao; Kwa nini waseme kati ya watu, Yuko wapi Mungu wao?


BWANA akajibu, akawaambia watu wake; Tazameni, nitawaletea nafaka, na divai, na mafuta, nanyi mtashiba kwa vitu hivyo; wala sitawafanya tena kuwa aibu kati ya mataifa;


Atarejea na kutuhurumia; atayakanyaga maovu yetu; nawe utazitupa dhambi zao zote katika vilindi vya bahari.


Naye atazaa mwana, nawe utamwita jina lake Yesu, maana, yeye ndiye atakayewaokoa watu wake kutoka dhambi zao.


ambaye alijitoa nafsi yake kwa ajili yetu, ili atukomboe na maasi yote, na kujisafishia watu wake mwenyewe walio na bidii katika matendo mema.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo