Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Zaburi 39:7 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

7 Na sasa ninangoja nini, Ee Bwana? Matumaini yangu ni kwako.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

7 Na sasa, ee Bwana, ninatazamia nini? Tumaini langu ni kwako wewe!

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

7 Na sasa, ee Bwana, ninatazamia nini? Tumaini langu ni kwako wewe!

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

7 Na sasa, ee Bwana, ninatazamia nini? Tumaini langu ni kwako wewe!

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

7 “Lakini sasa Bwana, nitafute nini? Tumaini langu ni kwako.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

7 “Lakini sasa Bwana, nitafute nini? Tumaini langu ni kwako.

Tazama sura Nakili




Zaburi 39:7
12 Marejeleo ya Msalaba  

Wokovu wako nimeungoja, Ee BWANA.


Tazama, ataniua; sina tumaini; Ila hata hivyo nitaithibitisha njia yangu mbele yake.


Yeye huchanua kama vile ua, kisha hukatwa; Hukimbia kama kivuli, wala hakai kamwe.


Ee BWANA, nimeungojea wokovu wako, Na maagizo yako nimeyatenda.


Nafsi yangu imefifia kwa kuutamani wokovu wako, Nimelitumainia neno lako.


Kwa kuwa nakungoja Wewe, BWANA, Wewe utajibu, Ee Bwana, Mungu wangu.


Makaburi ni nyumba zao hata milele, Maskani zao vizazi hata vizazi. Japo waliwahi kuyamiliki mashamba, Kwa majina yao wenyewe.


Maana kuna mtu ambaye kazi yake ni kwa hekima, na kwa maarifa, na kwa ustadi; naye atamwachia mtu asiyeshughulika nayo kuwa sehemu yake. Hayo tena ni ubatili, nayo ni baa kuu.


Kuna mtu aliye peke yake, wala hana mwenzi wake; naam, hana mwana wala ndugu; hata hivyo amali yake haina mwisho, wala macho yake hayashibi utajiri. Basi asema, Ni kwa ajili ya nani nafanya kazi, na kujinyima nafsi yangu mema? Hayo nayo ni ubatili, naam, ni taabu kubwa.


Na tazama, pale Yerusalemu palikuwa na mtu, jina lake Simeoni, naye ni mtu mwenye haki, mcha Mungu, akiitarajia faraja ya Israeli; na Roho Mtakatifu alikuwa juu yake.


Basi Mungu wa tumaini na awajaze ninyi furaha yote na amani katika kuamini, mpate kuzidi sana kuwa na tumaini, katika nguvu za Roho Mtakatifu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo