Zaburi 39:5 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC5 Tazama, umefanya siku zangu kuwa mashubiri; Maisha yangu ni kama si kitu mbele zako. Kila mwanadamu, ingawa amesitawi, ni ubatili. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema5 Kumbe umenipimia maisha mafupi sana! Maisha yangu si kitu mbele yako. Hakika, kila binadamu ni kama pumzi tu! Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND5 Kumbe umenipimia maisha mafupi sana! Maisha yangu si kitu mbele yako. Hakika, kila binadamu ni kama pumzi tu! Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza5 Kumbe umenipimia maisha mafupi sana! Maisha yangu si kitu mbele yako. Hakika, kila binadamu ni kama pumzi tu! Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu5 Umefanya maisha yangu mafupi kama nyanda; muda wangu wa kuishi ni kama hauna thamani kwako. Maisha ya kila mwanadamu ni kama pumzi. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu5 Umefanya maisha yangu mafupi kama pumzi; muda wangu wa kuishi ni kama hauna thamani kwako. Maisha ya kila mwanadamu ni kama pumzi. Tazama sura |