Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Zaburi 39:10 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

10 Uniondolee pigo lako; Kwa mapigo ya mkono wako nimeangamia.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

10 Usiniadhibu tena; namalizika kwa mapigo yako.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

10 Usiniadhibu tena; namalizika kwa mapigo yako.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

10 Usiniadhibu tena; namalizika kwa mapigo yako.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

10 Niondolee mjeledi wako, nimeshindwa kwa mapigo ya mkono wako.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

10 Niondolee mjeledi wako, nimeshindwa kwa mapigo ya mkono wako.

Tazama sura Nakili




Zaburi 39:10
10 Marejeleo ya Msalaba  

Uondoe mkono wako usinilemee; Na utisho wako usinitie hofu.


Lakini yeye akamwambia, Wewe wanena kama mmoja wa hao wanawake wapumbavu anenavyo. Je! Tupate mema mkononi mwa Mungu, nasi tusipate na mabaya? Katika mambo hayo yote Ayubu hakufanya dhambi kwa midomo yake.


Je! Hata hukumu yangu utaibatilisha? Utanitia mimi hatiani, upate kuhesabiwa haki?


Na aniondolee fimbo yake, Na utisho wake usinitie hofu;


Kwa maana mchana na usiku Mkono wako ulinilemea. Jasho langu likakauka hata nikawa Kama nchi kavu wakati wa kaskazi.


Na akae peke yake na kunyamaza kimya; Kwa sababu Bwana ameweka hayo juu yake.


Ndipo Musa akamwambia Haruni, Jambo hili ni hilo BWANA alilolinena, akisema, Nitatakaswa mimi katika hao wanikaribiao, nami nitatukuzwa mbele ya watu hao wote. Haruni akanyamaza kimya.


Kwa hiyo mtafanya sanamu za majipu yenu, na sanamu za panya wenu wanaoiharibu nchi; nanyi mtamtukuza huyo Mungu wa Israeli; huenda ataupunguza uzito wa mkono wake juu yenu, na juu ya miungu yenu, na juu ya nchi yenu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo