Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Zaburi 38:7 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

7 Maana viuno vyangu vimejaa homa, Wala hamna uzima katika mwili wangu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

7 Viungo vyangu vimeshambuliwa na homa; mwilini mwangu hamna nafuu yoyote.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

7 Viungo vyangu vimeshambuliwa na homa; mwilini mwangu hamna nafuu yoyote.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

7 Viungo vyangu vimeshambuliwa na homa; mwilini mwangu hamna nafuu yoyote.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

7 Viuno vyangu vimejaa maumivu yaunguzayo, hakuna afya mwilini mwangu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

7 Viuno vyangu vimejaa maumivu yaunguzayo, hakuna afya mwilini mwangu.

Tazama sura Nakili




Zaburi 38:7
7 Marejeleo ya Msalaba  

Nikamwambia mfalme, Mfalme na aishi milele; kwani uso wangu usiwe na huzuni, iwapo mji, ulio mahali pa makaburi ya baba zangu, unakaa ukiwa, na malango yake yameteketezwa kwa moto?


Kwa ugonjwa wangu kuwa na nguvu nyingi Mavazi yangu yameharibika; Hunikaza kama shingo ya kanzu yangu.


Mwili wangu unavikwa mabuu na madongoa ya udongo; Ngozi yangu hufumba, kisha ikatumbuka tena.


Maana siku zangu zinatoweka kama moshi, Na mifupa yangu inateketea kama kinga.


Wanafikiri pigo liualo limemshika, Akalala asiweze kusimama tena.


Mara malaika wa Bwana akampiga, kwa sababu hakumpa Mungu utukufu; akaliwa na wadudu, akatokwa na roho.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo