Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Zaburi 38:6 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

6 Nimejipinda na kuinama sana, Mchana kutwa ninaenda nikiomboleza.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

6 Nimepindika mpaka chini na kupondeka; mchana kutwa nazunguka nikiomboleza.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

6 Nimepindika mpaka chini na kupondeka; mchana kutwa nazunguka nikiomboleza.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

6 Nimepindika mpaka chini na kupondeka; mchana kutwa nazunguka nikiomboleza.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

6 Nimeinamishwa chini na kushushwa sana, mchana kutwa nazunguka nikiomboleza.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

6 Nimeinamishwa chini na kushushwa sana, mchana kutwa nazunguka nikiomboleza.

Tazama sura Nakili




Zaburi 38:6
13 Marejeleo ya Msalaba  

Naenda nikiomboleza pasipo jua; Nasimama katika mkutano, na kuulilia msaada.


Mwili wangu unavikwa mabuu na madongoa ya udongo; Ngozi yangu hufumba, kisha ikatumbuka tena.


Wapumbavu, kwa sababu ya ukosaji wao, Na kwa sababu ya maovu yao, hujitesa.


BWANA huwategemeza wote waangukao, Huwainua wote walioinama chini.


Maana maisha yangu yamekwisha kwa huzuni, Na miaka yangu kwa maumivu. Nguvu zangu zimeniishia kwa uovu wangu, Na mifupa yangu imepooza.


Nilisikitika kana kwamba ni rafiki au ndugu yangu, Niliinama nikilia kama aliyefiwa na mamaye.


Nafsi yangu, kwa nini kuinama, Na kufadhaika ndani yangu? Umtumainie Mungu; Kwa maana nitakuja kumsifu, Aliye afya ya uso wangu, Na Mungu wangu.


Nitamwambia Mungu, mwamba wangu, Kwa nini umenisahau? Kwa nini ninakwenda nikihuzunika, adui wakinionea?


Kwa kuwa Wewe ndiwe Mungu uliye nguvu zangu; kwa nini umenitupa? Kwa nini ninakwenda nikihuzunika, adui wakinionea?


Wameweka wavu ili kuninasa miguu; Nimevunjika moyo; Wamechimba shimo njiani mwangu; Lakini wao wenyewe wametumbukia humo!


Nimechoka kwa kuugua kwangu; Kila usiku nakibubujikia kitanda changu; Nililowesha godoro langu kwa machozi yangu.


Jicho langu limefifia kwa ajili ya mateso BWANA, ninakuita kila siku; Ninakunyoshea Wewe mikono yangu.


Kama mbayuwayu au korongo ndivyo nilivyolia; Niliomboleza kama hua; macho yangu yamedhoofu kwa kutazama juu; Ee BWANA, nimeonewa, na uwe mdhamini wangu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo