Zaburi 38:5 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC5 Majeraha yangu yananuka na kutunga usaha, Kwa sababu ya upumbavu wangu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema5 Madonda yangu yameoza na kunuka, na hayo ni matokeo ya ujinga wangu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND5 Madonda yangu yameoza na kunuka, na hayo ni matokeo ya ujinga wangu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza5 Madonda yangu yameoza na kunuka, na hayo ni matokeo ya ujinga wangu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu5 Majeraha yangu yameoza na yananuka, kwa sababu ya upumbavu wa dhambi zangu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu5 Majeraha yangu yameoza na yananuka, kwa sababu ya upumbavu wa dhambi zangu. Tazama sura |