Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Zaburi 38:5 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

5 Majeraha yangu yananuka na kutunga usaha, Kwa sababu ya upumbavu wangu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

5 Madonda yangu yameoza na kunuka, na hayo ni matokeo ya ujinga wangu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

5 Madonda yangu yameoza na kunuka, na hayo ni matokeo ya ujinga wangu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

5 Madonda yangu yameoza na kunuka, na hayo ni matokeo ya ujinga wangu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

5 Majeraha yangu yameoza na yananuka, kwa sababu ya upumbavu wa dhambi zangu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

5 Majeraha yangu yameoza na yananuka, kwa sababu ya upumbavu wa dhambi zangu.

Tazama sura Nakili




Zaburi 38:5
8 Marejeleo ya Msalaba  

nikasema, Ee Mungu wangu, nimetahayari, naona haya kuinua uso wangu mbele zako, Mungu wangu; kwa maana maovu yetu ni mengi, hata yamefika juu ya vichwa vyetu, na hatia yetu imeongezeka na kufika mbinguni.


Nilipokosa kuungama dhambi zangu, mifupa yangu ilipooza Kwa kulia kwangu mchana kutwa.


Maana viuno vyangu vimejaa homa, Wala hamna uzima katika mwili wangu.


Ee BWANA, uwe radhi kuniokoa, Ee BWANA, unisaidie hima.


Heri mtu yule umchaguaye, Na kumkaribisha akae nyuani mwako. Na tushibe wema wa nyumba yako, Patakatifu pa hekalu lako.


Ee Mungu, unajua upumbavu wangu, Wala hukufichwa dhambi yangu.


Je! Hakuna marhamu katika Gileadi? Huko hakuna tabibu? Mbona, basi, haijarejea afya ya binti ya watu wangu?


Tufuate:

Matangazo


Matangazo