Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Zaburi 38:4 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

4 Maana dhambi zangu zimenifunika kichwa, Kama mzigo mzito zimenilemea mno.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

4 Nimefunikwa kabisa na dhambi zangu, zinanilemea kama mzigo mzito mno kwangu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

4 Nimefunikwa kabisa na dhambi zangu, zinanilemea kama mzigo mzito mno kwangu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

4 Nimefunikwa kabisa na dhambi zangu, zinanilemea kama mzigo mzito mno kwangu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

4 Maovu yangu yamenifunika kama mzigo mzito mno.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

4 Maovu yangu yamenifunika kama mzigo usiochukulika.

Tazama sura Nakili




Zaburi 38:4
9 Marejeleo ya Msalaba  

nikasema, Ee Mungu wangu, nimetahayari, naona haya kuinua uso wangu mbele zako, Mungu wangu; kwa maana maovu yetu ni mengi, hata yamefika juu ya vichwa vyetu, na hatia yetu imeongezeka na kufika mbinguni.


Yeye hutiwa adabu kwa maumivu kitandani mwake, Na kwa mashindano yaendeleayo daima mifupani mwake;


Wapumbavu, kwa sababu ya ukosaji wao, Na kwa sababu ya maovu yao, hujitesa.


Kwa maana mabaya yasiyohesabika Yamenizunguka mimi. Maovu yangu yamenipata, Wala siwezi kuona. Yamezidi kuliko nywele za kichwa changu, Nami nimevunjika moyo.


Ataona mazao ya taabu ya nafsi yake, na kuridhika. Kwa maarifa yake mtumishi wangu mwenye haki Atawafanya wengi kuwa wenye haki; Naye atayachukua maovu yao.


Kongwa la makosa yangu limefungwa na mkono wake; Hayo yameshikamana; Yamepanda juu shingoni mwangu; Amezikomesha nguvu zangu;


Tena kama nyama yoyote katika hiyo dhabihu yake ya sadaka za amani ikiliwa siku ya tatu, haitakubaliwa, wala haitahesabiwa kwake huyo mwenye kuisongeza; itakuwa ni machukizo, na mtu atakayeila atachukua uovu wake.


Njooni kwangu, ninyi nyote msumbukao na wenye kulemewa na mizigo, nami nitawapumzisha.


Yeye mwenyewe alizichukua dhambi zetu katika mwili wake juu ya mti, tukiwa wafu kwa mambo ya dhambi, tuwe hai kwa mambo ya haki; na kwa kupigwa kwake mliponywa.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo