Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Zaburi 38:3 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

3 Hamna uzima katika mwili wangu Kwa sababu ya ghadhabu yako. Wala hamna amani mifupani mwangu Kwa sababu ya hatia zangu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

3 Hamna mahali nafuu mwilini mwangu, kwa sababu umenikasirikia; hamna penye afya hata mifupani mwangu, kwa sababu ya dhambi yangu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

3 Hamna mahali nafuu mwilini mwangu, kwa sababu umenikasirikia; hamna penye afya hata mifupani mwangu, kwa sababu ya dhambi yangu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

3 Hamna mahali nafuu mwilini mwangu, kwa sababu umenikasirikia; hamna penye afya hata mifupani mwangu, kwa sababu ya dhambi yangu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

3 Hakuna afya mwilini mwangu kwa sababu ya ghadhabu yako, mifupa yangu haina uzima kwa sababu ya dhambi zangu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

3 Hakuna afya mwilini mwangu kwa sababu ya ghadhabu yako, mifupa yangu haina uzima kwa sababu ya dhambi zangu.

Tazama sura Nakili




Zaburi 38:3
13 Marejeleo ya Msalaba  

Uzia akakasirika; naye alikuwa na chetezo mkononi cha kufukizia uvumba; naye hapo alipowakasirikia makuhani, ukoma ukamtokea katika paji la uso wake mbele ya makuhani nyumbani mwa BWANA karibu na madhabahu ya kufukizia.


Kwa kuwa mishale ya huyo Mwenyezi iko ndani yangu, Na roho yangu inainywa sumu yake; Vitisho vya Mungu vimejipanga juu yangu.


Maana siku zangu zinatoweka kama moshi, Na mifupa yangu inateketea kama kinga.


Kwa ajili ya kilio cha kuugua kwangu Mifupa yangu imegandamana na nyama yangu.


Kwa maana mchana na usiku Mkono wako ulinilemea. Jasho langu likakauka hata nikawa Kama nchi kavu wakati wa kaskazi.


Unifanye kusikia furaha na shangwe, Mifupa uliyoiponda ifurahi.


BWANA, unifadhili, maana ninanyauka; BWANA, uniponye, mifupa yangu imefadhaika.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo