Zaburi 38:2 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC2 Kwa maana mishale yako imenichoma, Na mkono wako umenipata. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema2 Mishale yako imenichoma; mkono wako umenigandamiza. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND2 Mishale yako imenichoma; mkono wako umenigandamiza. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza2 Mishale yako imenichoma; mkono wako umenigandamiza. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu2 Kwa kuwa mishale yako imenichoma, na mkono wako umenipiga. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu2 Kwa kuwa mishale yako imenichoma, na mkono wako umenishukia. Tazama sura |