Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Zaburi 38:14 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

14 Naam, nimekuwa kama mtu asiyesikia, Ambaye hamna ubishi kinywani mwake.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

14 Naam, nimekuwa kama mtu asiyesikia, kama mtu asiye na chochote cha kujitetea.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

14 Naam, nimekuwa kama mtu asiyesikia, kama mtu asiye na chochote cha kujitetea.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

14 Naam, nimekuwa kama mtu asiyesikia, kama mtu asiye na chochote cha kujitetea.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

14 nimekuwa kama mtu asiyesikia, ambaye kinywa chake hakiwezi kutoa jibu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

14 nimekuwa kama mtu asiyesikia, ambaye kinywa chake hakiwezi kutoa jibu.

Tazama sura Nakili




Zaburi 38:14
5 Marejeleo ya Msalaba  

Alionewa, lakini alinyenyekea, Wala hakufunua kinywa chake; Kama mwana-kondoo apelekwaye machinjoni, Na kama vile kondoo anyamazavyo Mbele yao wakatao manyoya yake; Naam, hakufunua kinywa chake.


Kwa ajili ya hayo mwenye busara atanyamaza kimya wakati kama huo; kwa kuwa ni wakati mbaya.


Msimwamini rafiki, msimwekee kiongozi tumaini; ilinde milango ya midomo ya kinywa chako ili mkeo alalaye kifuani mwako asijue habari.


Nao wakasema neno hilo wakimjaribu, ili wapate sababu ya kumshitaki. Lakini Yesu akainama, akaandika kwa kidole chake katika ardhi.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo