Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Zaburi 38:10 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

10 Moyo wangu unadundadunda, Nguvu zangu zimenitoka; Nuru ya macho yangu nayo imeniondoka.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

10 Moyo wanidunda, nguvu zimeniishia; hata macho yangu nayo yamekwisha fifia.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

10 Moyo wanidunda, nguvu zimeniishia; hata macho yangu nayo yamekwisha fifia.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

10 Moyo wanidunda, nguvu zimeniishia; hata macho yangu nayo yamekwisha fifia.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

10 Moyo wangu unapigapiga, nguvu zangu zimeniishia; hata macho yangu yametiwa giza.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

10 Moyo wangu unapigapiga, nguvu zangu zimeniishia; hata macho yangu yametiwa giza.

Tazama sura Nakili




Zaburi 38:10
12 Marejeleo ya Msalaba  

Macho yangu yanafifia kwa kuungojea wokovu wako, Na kutimizwa kwa ahadi yako ya haki.


Maana maisha yangu yamekwisha kwa huzuni, Na miaka yangu kwa maumivu. Nguvu zangu zimeniishia kwa uovu wangu, Na mifupa yangu imepooza.


Kama ayala aioneavyo shauku mito ya maji. Vivyo hivyo nafsi yangu inakuonea shauku, Ee Mungu.


Macho yangu yameharibika kwa masumbufu, Na kuchakaa kwa sababu yao wanaoniudhi.


Nimechoka kwa kulia kwangu, Koo yangu imekauka. Macho yangu yamedhoofika Kwa kumngoja Mungu wangu.


Jicho langu limefifia kwa ajili ya mateso BWANA, ninakuita kila siku; Ninakunyoshea Wewe mikono yangu.


Moyo wangu unapigapiga, utisho umenitaabisha, gizagiza la jioni nilipendalo limegeuka likanitetemesha.


Macho yangu yamechoka kwa machozi, Mtima wangu umetaabika; Ini langu linamiminwa juu ya nchi Kwa uharibifu wa binti ya watu wangu; Kwa sababu watoto wachanga na wanyonyao, Huzimia katika mitaa ya mji.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo