Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Zaburi 37:8 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

8 Ukomeshe hasira, uache ghadhabu, Usikasirike, mwisho wake ni kutenda mabaya.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

8 Epuka hasira wala usiwe na ghadhabu; usihangaike maana hiyo huzidisha ubaya.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

8 Epuka hasira wala usiwe na ghadhabu; usihangaike maana hiyo huzidisha ubaya.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

8 Epuka hasira wala usiwe na ghadhabu; usihangaike maana hiyo huzidisha ubaya.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

8 Epuka hasira na uache ghadhabu; usihangaike: itakuongoza tu kutenda uovu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

8 Epuka hasira na uache ghadhabu, usihangaike: itakuongoza tu kutenda uovu.

Tazama sura Nakili




Zaburi 37:8
18 Marejeleo ya Msalaba  

Farao akamwambia, Umekosa nini kwangu, hata, tazama, unatafuta kuirudia nchi yako? Akajibu, Hakuna, lakini unipe ruhusa tu.


Wewe ujiraruaye mwenyewe katika hasira yako, Je! Dunia itaachwa kwa ajili yako wewe? Au jabali litaondolewa mahali pake?


Kwani hasira humwua mtu mpumbavu, Nao wivu humwua mjinga.


Nikiwa katika hangaiko langu nikasema, Wanadamu wote ni waongo.


Nami nilisema kwa pupa yangu, Nimekatiliwa mbali na macho yako; Lakini ulisikia sauti ya kilio changu Wakati nilipokulilia.


Kama ningalisema, Nitasimulia kama hayo; Kumbe! Ningaliwadanganya kizazi cha wana wako.


Asiye mwepesi wa hasira ana fahamu nyingi; Bali mwenye roho ya hamaki hutukuza upumbavu.


Asiye mwepesi wa hasira ni mwema kuliko shujaa; Na mtu aitawalaye roho yake kuliko mtu atekaye mji.


Lakini jambo hili lilimchukiza Yona sana, naye akakasirika.


Mungu akamwambia Yona, Je! Unatenda vema kukasirika kwa ajili ya mtango? Naye akasema, Ndiyo, natenda vema kukasirika hata kufa.


Muwe na hasira, ila msitende dhambi; jua lisichwe na uchungu wenu bado haujawatoka;


Uchungu wote na ghadhabu na hasira na kelele na matusi yaondoke kwenu, pamoja na kila namna ya ubaya;


Lakini sasa yawekeni mbali nanyi haya yote, hasira, na ghadhabu, na uovu, na masuto, na matusi vinywani mwenu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo