Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Zaburi 37:38 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

38 Wakosaji wataangamizwa pamoja, Wasio haki mwisho wao wataharibiwa.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

38 Lakini wakosefu wote wataangamizwa; na wazawa wao watafutiliwa mbali.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

38 Lakini wakosefu wote wataangamizwa; na wazawa wao watafutiliwa mbali.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

38 Lakini wakosefu wote wataangamizwa; na wazawa wao watafutiliwa mbali.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

38 Lakini watenda dhambi wote wataangamizwa, mafanikio yao yatakatiliwa mbali.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

38 Lakini watenda dhambi wote wataangamizwa, mafanikio yao yatakatiliwa mbali.

Tazama sura Nakili




Zaburi 37:38
10 Marejeleo ya Msalaba  

Peka mwana wa Remalia akawaua katika Yuda siku moja watu elfu mia moja na ishirini, mashujaa wote; kwa sababu walikuwa wamemwacha BWANA, Mungu wa baba zao.


Lakini Mungu atakuharibu hata milele; Atakuondolea mbali; Atakunyakua hemani mwako; Atakung'oa katika nchi ya walio hai.


Hata nilipoingia katika patakatifu pa Mungu, Nikautafakari mwisho wao.


Wadhalimu wataenda kuzimu, Naam, mataifa yote wanaomsahau Mungu.


Mtu mbaya husukumwa chini katika kutenda mabaya kwake; Bali mwenye haki ana matumaini katika kufa kwake.


Viacheni vyote vikue hadi wakati wa mavuno; na wakati wa mavuno nitawaambia wavunao, Yakusanyeni kwanza magugu, myafunge matita matita mkayachome; bali ngano ikusanyeni mkaiweke ghalani mwangu.


Na hao watakwenda zao kuingia katika adhabu ya milele; bali wenye haki watakwenda katika uzima wa milele.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo