Zaburi 37:35 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC35 Nimemwona mtu asiye haki mkali sana, Akijieneza kama mwerezi wa Lebanoni. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema35 Nilimwona mwovu mdhalimu sana, alijiweka juu ya wote kama mierezi ya Lebanoni! Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND35 Nilimwona mwovu mdhalimu sana, alijiweka juu ya wote kama mierezi ya Lebanoni! Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza35 Nilimwona mwovu mdhalimu sana, alijiweka juu ya wote kama mierezi ya Lebanoni! Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu35 Nimemwona mtu mwovu na mkatili akistawi kama mwerezi wa Lebanoni, Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu35 Nimemwona mtu mwovu na mkatili akistawi kama mwerezi wa Lebanoni, Tazama sura |