Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Zaburi 37:26 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

26 Mchana kutwa hufadhili na kukopesha, Na mzao wake hubarikiwa.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

26 Daima huwapa wengine kwa furaha na kukopesha, na watoto wake ni baraka.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

26 Daima huwapa wengine kwa furaha na kukopesha, na watoto wake ni baraka.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

26 Daima huwapa wengine kwa furaha na kukopesha, na watoto wake ni baraka.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

26 Wakati wote ni wakarimu na hukopesha bila masharti. Watoto wao watabarikiwa.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

26 Wakati wote ni wakarimu na hukopesha bila masharti. Watoto wao watabarikiwa.

Tazama sura Nakili




Zaburi 37:26
10 Marejeleo ya Msalaba  

Heri atendaye fadhili na kukopesha; Atengenezaye mambo yake kwa haki.


Ametoa kwa ukarimu, na kuwapa maskini, Haki yake yakaa milele, Pembe yake itatukuzwa kwa utukufu.


Maana amevikaza vipingo vya malango yako, Amewabariki wanao ndani yako.


Asiye haki hukopa wala halipi, Bali mwenye haki hufadhili, hukirimu.


Mwenye haki aendaye katika unyofu wake, Watoto wake wabarikiwa baada yake.


Kuna atamaniye kwa choyo mchana kutwa; Bali mwenye haki hutoa wala hanyimi.


nami nitawapa moyo mmoja na njia moja, wapate kunicha sikuzote; kwa mema yao, na ya watoto wao baada yao;


Heri wenye rehema; Maana hao watapata rehema.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo