Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Zaburi 37:21 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

21 Asiye haki hukopa wala halipi, Bali mwenye haki hufadhili, hukirimu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

21 Mtu mwovu hukopa bila kurudisha; lakini mwadilifu hutoa kwa ukarimu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

21 Mtu mwovu hukopa bila kurudisha; lakini mwadilifu hutoa kwa ukarimu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

21 Mtu mwovu hukopa bila kurudisha; lakini mwadilifu hutoa kwa ukarimu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

21 Waovu hukopa na hawalipi, bali wenye haki hutoa kwa ukarimu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

21 Waovu hukopa na hawalipi, bali wenye haki hutoa kwa ukarimu.

Tazama sura Nakili




Zaburi 37:21
18 Marejeleo ya Msalaba  

Heri atendaye fadhili na kukopesha; Atengenezaye mambo yake kwa haki.


Ametoa kwa ukarimu, na kuwapa maskini, Haki yake yakaa milele, Pembe yake itatukuzwa kwa utukufu.


Tajiri humtawala maskini, Naye akopaye ni mtumwa wake akopeshaye.


Bali muungwana huwaza mambo ya kiungwana, naye hushika sana mambo ya kiungwana.


Mpe kila akuombaye, na akunyang'anyaye vitu vyako, usitake akurudishie.


Na wale wanafunzi, kila mtu kwa kadiri ya alivyofanikiwa, wakaazimu kupeleka msaada kwa ndugu zao waliokaa Yudea.


Katika mambo yote nimewaonesha ya kuwa kwa kushika kazi hivi imewapasa kuwasaidia wanyonge, na kuyakumbuka maneno ya Bwana Yesu, jinsi alivyosema mwenyewe, Ni heri kutoa kuliko kupokea.


Maana mmejua neema ya Bwana wetu Yesu Kristo, jinsi alivyokuwa maskini kwa ajili yenu, ingawa alikuwa tajiri, ili kwamba ninyi mpate kuwa matajiri kwa umaskini wake.


Atakufunulia BWANA hazina yake nzuri, nayo ni mbingu, kwa kutoa mvua ya nchi yako kwa wakati wake, na kwa kubarikia kazi yote ya mkono wako; nawe utakopesha mataifa mengi, wala hutakopa wewe.


Lakini msisahau kutenda mema na kushirikiana; maana sadaka kama hizi ndizo zimpendezazo Mungu.


Maana Mungu si dhalimu hata aisahau kazi yenu, na pendo lile mlilolidhihirisha kwa jina lake, kwa kuwa mmewahudumia watakatifu, na hata hivi sasa mngali mkiwahudumia.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo