Zaburi 37:21 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC21 Asiye haki hukopa wala halipi, Bali mwenye haki hufadhili, hukirimu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema21 Mtu mwovu hukopa bila kurudisha; lakini mwadilifu hutoa kwa ukarimu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND21 Mtu mwovu hukopa bila kurudisha; lakini mwadilifu hutoa kwa ukarimu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza21 Mtu mwovu hukopa bila kurudisha; lakini mwadilifu hutoa kwa ukarimu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu21 Waovu hukopa na hawalipi, bali wenye haki hutoa kwa ukarimu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu21 Waovu hukopa na hawalipi, bali wenye haki hutoa kwa ukarimu. Tazama sura |