Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Zaburi 37:19 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

19 Hawataaibika wakati wa ubaya, Na siku za njaa watashiba.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

19 Hawataaibika zikifika nyakati mbaya; siku za njaa watakuwa na chakula tele.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

19 Hawataaibika zikifika nyakati mbaya; siku za njaa watakuwa na chakula tele.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

19 Hawataaibika zikifika nyakati mbaya; siku za njaa watakuwa na chakula tele.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

19 Siku za maafa hawatanyauka, siku za njaa watafurahia wingi wa vitu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

19 Siku za maafa hawatanyauka, siku za njaa watafurahia wingi wa vitu.

Tazama sura Nakili




Zaburi 37:19
8 Marejeleo ya Msalaba  

Ili kuwaponya nafsi zao kutoka kwa mauti, Na kuwahuisha wakati wa njaa.


BWANA hataiacha nafsi ya mwenye haki ife na njaa; Bali tamaa ya mtu mwovu huisukumia mbali.


Maana mwanadamu naye hajui wakati wake; kama samaki wanaokamatwa katika nyavu mbaya, na mfano wa ndege wanaonaswa mtegoni, kadhalika wanadamu hunaswa katika wakati mbaya, unapowaangukia kwa ghafla.


Huyu ndiye atakayekaa juu; majabali ni ngome yake; atapewa chakula chake; maji yake hayatakoma.


Kwa ajili ya hayo mwenye busara atanyamaza kimya wakati kama huo; kwa kuwa ni wakati mbaya.


Basi BWANA asema hivi, Angalia, nakusudia jambo baya juu ya jamaa hii, ambalo hamtazitoa shingo zenu, wala hamtakwenda kwa kiburi; kwa maana ni wakati mbaya.


mkiukomboa wakati kwa maana nyakati hizi ni za uovu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo