Zaburi 37:19 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC19 Hawataaibika wakati wa ubaya, Na siku za njaa watashiba. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema19 Hawataaibika zikifika nyakati mbaya; siku za njaa watakuwa na chakula tele. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND19 Hawataaibika zikifika nyakati mbaya; siku za njaa watakuwa na chakula tele. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza19 Hawataaibika zikifika nyakati mbaya; siku za njaa watakuwa na chakula tele. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu19 Siku za maafa hawatanyauka, siku za njaa watafurahia wingi wa vitu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu19 Siku za maafa hawatanyauka, siku za njaa watafurahia wingi wa vitu. Tazama sura |