Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Zaburi 37:13 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

13 BWANA atamcheka, Maana ameona kwamba siku yake inakuja.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

13 Lakini Mwenyezi-Mungu humcheka mwovu, kwani ajua mwisho wake u karibu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

13 Lakini Mwenyezi-Mungu humcheka mwovu, kwani ajua mwisho wake u karibu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

13 Lakini Mwenyezi-Mungu humcheka mwovu, kwani ajua mwisho wake u karibu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

13 bali Bwana huwacheka waovu, kwa sababu anajua siku yao inakuja.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

13 bali Bwana huwacheka waovu, kwa sababu anajua siku yao inakuja.

Tazama sura Nakili




Zaburi 37:13
9 Marejeleo ya Msalaba  

Hao wanaokaa magharibi watastaajabia siku yake, Kama vile wanaokaa mashariki walivyotiwa hofu.


Yeye aketiye mbinguni anacheka, Bwana anawafanyia dhihaka.


Mimi nami nitacheka siku ya msiba wenu, Nitadhihaki hofu yenu ifikapo;


Kwa maana kutakuwa siku ya BWANA wa majeshi juu ya watu wote wenye kiburi na majivuno, na juu ya yote yaliyoinuka; nayo yatashushwa chini.


Wachinjeni mafahali wake wote; Na wateremkie machinjoni; Ole wao! Maana siku yao imewadia, Wakati wa kujiliwa kwao.


Na wewe, Ewe mtu mwovu, uliyetiwa jeraha kiasi cha kukuua, mkuu wa Israeli, ambaye siku yako imekuja, katika wakati wa uovu wa mwisho;


wakati wanapokupa maono ya udanganyifu, wakati wanapokuagulia uongo, wanakuweka juu ya shingo zao wachukizao, na waovu, ambao siku yao imekuja, katika wakati wa adhabu ya mwisho.


Na tafsiri ya maneno haya ni hii; MENE, Mungu ameuhesabu ufalme wako na kuukomesha.


Daudi akasema, Aishivyo BWANA, BWANA atampiga; au siku yake ya kufa itampata; atashuka kwenda vitani na kupotea.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo