Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Zaburi 37:1 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

1 Usihangaike kwa sababu ya watenda mabaya, Usiwahusudu wafanyao ubatili.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

1 Usihangaike kwa sababu ya waovu; usiwaonee wivu watendao mabaya.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

1 Usihangaike kwa sababu ya waovu; usiwaonee wivu watendao mabaya.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

1 Usihangaike kwa sababu ya waovu; usiwaonee wivu watendao mabaya.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

1 Usisumbuke kwa ajili ya watendao maovu, wala usiwaonee wivu watendao mabaya,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

1 Usisumbuke kwa ajili ya watendao maovu, wala usiwaonee wivu watendao mabaya,

Tazama sura Nakili




Zaburi 37:1
12 Marejeleo ya Msalaba  

Walekevu watayastaajabia hayo, Na asiye na hatia atajiamsha juu ya mpotovu.


Utulie mbele za BWANA, Nawe umngojee kwa subira; Usihangaike juu ya afanikiwaye katika njia yake, Wala mtu apangaye maovu.


Maana niliwaonea wivu wenye kujivuna, Nilipoiona hali ya amani ya wasio haki.


Upumbavu wa mtu hupotosha njia yake; Na moyo wake hununa juu ya BWANA.


Moyo wako usiwahusudu wenye dhambi; Bali mche BWANA mchana kutwa;


Usiwawaonee wivu watu waovu, Wala usitamani kuwa pamoja nao;


Usikasirike kwa sababu ya watenda mabaya; Wala usiwahusudu wabaya;


Usimhusudu mtu mwenye ujeuri, Wala usiichague mojawapo ya njia zake.


lakini haitakuwa heri kwa mwovu, wala hatazidisha siku zake, zilizo kama kivuli; kwa sababu hana kicho mbele za Mungu.


husuda, ulevi, ulafi, na mambo yanayofanana na hayo, katika hayo nawaambia mapema, kama nilivyokwisha kuwaambia, ya kwamba watu watendao mambo ya jinsi hiyo hawataurithi ufalme wa Mungu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo