Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Zaburi 36:3 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

3 Maneno ya kinywa chake ni uovu na hila, Ameacha kuwa na akili na kutenda mema.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

3 Kila asemacho ni uovu na uongo; ameacha kutumia hekima na kutenda mema.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

3 Kila asemacho ni uovu na uongo; ameacha kutumia hekima na kutenda mema.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

3 Kila asemacho ni uovu na uongo; ameacha kutumia hekima na kutenda mema.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

3 Maneno ya kinywa chake ni maovu na ya udanganyifu, ameacha kuwa mwenye hekima au kutenda mema.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

3 Maneno ya kinywa chake ni maovu na ya udanganyifu, ameacha kuwa mwenye hekima na kutenda mema.

Tazama sura Nakili




Zaburi 36:3
26 Marejeleo ya Msalaba  

Maana nimezishika njia za BWANA, Wala sikumwasi Mungu wangu.


Akaiendea njia ya Asa babaye, wala hakuiacha, akifanya yaliyo mema machoni pa BWANA.


Kinywa chake kimejaa laana, Na hila na dhuluma. Chini ya ulimi wake kuna madhara na uovu,


Bali wao wanaozigeukia njia zao zilizopotoka, BWANA atawaondoa pamoja na watenda maovu. Amani ikae na Israeli.


Wamenoa ndimi zao na kuwa kama za nyoka, Na katika midomo yao mna sumu ya fira.


Maana vinywani mwao hamna uaminifu; Moyo wao ni shimo tupu, koo lao ni kaburi wazi, Ulimi wao hujipendekeza.


Kinywa chake ni laini kuliko siagi, Bali moyo wake ni vita. Maneno yake ni mororo kuliko mafuta, Lakini yanakata kama upanga mkali.


Waovu hupotoka hata kabla ya kuzaliwa kwao; Tangu tumboni wamepotea, wakisema uongo.


Enyi wajinga miongoni mwa watu, fikirini; Enyi wapumbavu, lini mtakapopata akili?


Maana hawalali isipokuwa wametenda madhara; Huondolewa usingizi, ikiwa hawakumwangusha mtu.


Kwa maana watu wangu ni wapumbavu, hawanijui; ni watoto waliopungukiwa na akili, wala hawana ufahamu; ni wenye akili katika kutenda mabaya, bali katika kutenda mema hawana maarifa.


Israeli ameyatupa yaliyo mema; adui watamfuatia.


na hao waliorudi nyuma, na kuacha kumfuata BWANA; na hao wasiomtafuta BWANA, wala kumwulizia.


Mmoja wao, mwanasheria, akamwuliza, akimjaribu;


Nitairudia nyumba yangu niliyotoka.


Lakini sisi hatumo miongoni mwao wasitao na kupotea, bali tumo miongoni mwa hao walio na imani ya kutuokoa roho zetu.


Walitoka kwetu, lakini hawakuwa wa kwetu. Maana kama wangalikuwa wa kwetu, wangalikaa pamoja nasi. Lakini walitoka ili wafunuliwe kwamba si wote walio wa kwetu.


Samweli akasema, Sitarudi pamoja nawe; kwa sababu umelikataa neno la BWANA, BWANA naye amekukataa wewe, usiwe mfalme wa Israeli.


Basi, Roho ya BWANA ilikuwa imemwacha Sauli, na roho mbaya kutoka kwa BWANA ikamsumbua.


Naye Sauli akasema moyoni, Mimi nitamwoza huyu, awe mtego kwake, tena kwamba mkono wa Wafilisti uwe juu yake. Basi Sauli akamwambia Daudi mara ya pili, Leo utakuwa mkwe wangu.


Ndipo Sauli akasema, Nimekosa; rudi, Daudi, mwanangu; maana sitakudhuru tena, kwa kuwa maisha yangu yalikuwa na thamani machoni pako leo; angalia, nimetenda upumbavu, nimekosa sana.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo