Zaburi 36:3 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC3 Maneno ya kinywa chake ni uovu na hila, Ameacha kuwa na akili na kutenda mema. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema3 Kila asemacho ni uovu na uongo; ameacha kutumia hekima na kutenda mema. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND3 Kila asemacho ni uovu na uongo; ameacha kutumia hekima na kutenda mema. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza3 Kila asemacho ni uovu na uongo; ameacha kutumia hekima na kutenda mema. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu3 Maneno ya kinywa chake ni maovu na ya udanganyifu, ameacha kuwa mwenye hekima au kutenda mema. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu3 Maneno ya kinywa chake ni maovu na ya udanganyifu, ameacha kuwa mwenye hekima na kutenda mema. Tazama sura |