Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Zaburi 36:12 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

12 Huko ndiko walikoanguka wafanyao maovu; Wameangushwa chini wasiweze kusimama.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

12 Kumbe watendao maovu wameanguka; wameangushwa chini, hawawezi kuinuka.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

12 Kumbe watendao maovu wameanguka; wameangushwa chini, hawawezi kuinuka.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

12 Kumbe watendao maovu wameanguka; wameangushwa chini, hawawezi kuinuka.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

12 Tazama jinsi watenda maovu walivyoanguka: wametupwa chini, hawawezi kuinuka!

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

12 Angalia jinsi watenda mabaya walivyoanguka: wametupwa chini, hawawezi kuinuka!

Tazama sura Nakili




Zaburi 36:12
12 Marejeleo ya Msalaba  

Kwa hiyo wasio haki hawatasimama hukumuni, Wala wakosaji katika kusanyiko la wenye haki.


Makaa ya moto yawaangukie, watupwe motoni, Na katika mashimo, wasipate kusimama tena.


Nitawapigapiga wasiweze kusimama, Wataanguka chini ya miguu yangu.


Nawe, Ee Mungu, utawateremsha, Wafikie shimo la uharibifu; Watu wa damu na hila hawataishi nusu ya siku zao, Bali mimi nitakutumaini Wewe.


BWANA amejidhihirisha na kutekeleza hukumu; Amemnasa mdhalimu kwa kazi ya mikono yake.


nawe utasema, Hivyo ndivyo utakavyozama Babeli, wala hautazuka tena, kwa sababu ya mabaya yote nitakayoleta juu yake; nao watachoka. Maneno ya Yeremia yamefika hata hapa.


Ni nani asiyekucha, Ee Bwana, na kulitukuza jina lako? Kwa kuwa wewe peke yako u Mtakatifu; kwa maana mataifa yote watakuja na kusujudu mbele zako; kwa kuwa matendo yako ya haki yamekwisha kufunuliwa.


Na waangamie vivyo hivyo adui zako wote, Ee BWANA. Bali wao wampendao na wawe kama jua hapo litokapo kwa nguvu zake. Nayo nchi ikastarehe miaka arubaini.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo