Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Zaburi 36:10 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

10 Uwadumishie wakujuao fadhili zako, Na wanyofu wa moyo uaminifu wako.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

10 Uendelee kuwafadhili wale wanaokutambua; uzidi kuwa mwema kwa wanyofu wa moyo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

10 Uendelee kuwafadhili wale wanaokutambua; uzidi kuwa mwema kwa wanyofu wa moyo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

10 Uendelee kuwafadhili wale wanaokutambua; uzidi kuwa mwema kwa wanyofu wa moyo.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

10 Dumisha upendo wako kwa wale wanaokujua wewe, haki yako kwa wale walio wanyofu wa moyo.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

10 Dumisha upendo wako kwa wale wanaokujua wewe, haki yako kwa wale walio wanyofu wa moyo.

Tazama sura Nakili




Zaburi 36:10
17 Marejeleo ya Msalaba  

Bali fadhili za BWANA ni kwa wamchao Tangu milele hata milele, Na haki yake ni kwa vizazi vyote;


Nao wakujuao jina lako wakutumaini Wewe, Maana Wewe, BWANA hukuwaacha wakutafutao.


Enyi wa nyumba ya Israeli, njoni, twende katika nuru ya BWANA.


Alihukumu maneno ya maskini na mhitaji; hapo ndipo alipofanikiwa. Je! Huku siko kunijua, asema BWANA?


Nami nitawapa moyo, wanijue ya kuwa mimi ni BWANA; nao watakuwa watu wangu, nami nitakuwa Mungu wao; kwa maana watanirudia kwa moyo wao wote.


BWANA alinitokea zamani, akisema, Naam nimekupenda kwa upendo wa milele, ndiyo maana nimekuvuta kwa fadhili zangu.


Na uzima wa milele ndio huu, Wakujue wewe, Mungu wa pekee wa kweli, na Yesu Kristo uliyemtuma.


Nao hawatafundishana kila mtu na jirani yake, Na kila mtu na ndugu yake, akisema, Mjue Bwana; Kwa maana wote watanijua, Tangu mdogo wao hata mkubwa wao.


Nanyi mnalindwa na nguvu za Mungu kwa njia ya imani ili mpate wokovu ulio tayari kufunuliwa wakati wa mwisho.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo