Zaburi 35:9 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC9 Na nafsi yangu itamfurahia BWANA, Na kuushangilia wokovu wake. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema9 Hapo mimi nitafurahi kwa sababu ya Mwenyezi-Mungu; nitashangilia kwa kuwa yeye ameniokoa. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND9 Hapo mimi nitafurahi kwa sababu ya Mwenyezi-Mungu; nitashangilia kwa kuwa yeye ameniokoa. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza9 Hapo mimi nitafurahi kwa sababu ya Mwenyezi-Mungu; nitashangilia kwa kuwa yeye ameniokoa. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu9 Ndipo nafsi yangu itashangilia katika Mwenyezi Mungu na kuufurahia wokovu wake. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu9 Ndipo nafsi yangu itashangilia katika bwana na kuufurahia wokovu wake. Tazama sura |