Zaburi 35:27 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC27 Washangilie na kufurahi, Wapendezwao na haki yangu. Naam, waseme daima, Atukuzwe BWANA, Apendezwaye na amani ya mtumishi wake. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema27 Lakini wanaotaka kuona kuwa sina hatia, wapaaze sauti kwa furaha waseme daima: “Mwenyezi-Mungu ni mkuu mno! Hupendezwa na fanaka ya mtumishi wake.” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND27 Lakini wanaotaka kuona kuwa sina hatia, wapaaze sauti kwa furaha waseme daima: “Mwenyezi-Mungu ni mkuu mno! Hupendezwa na fanaka ya mtumishi wake.” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza27 Lakini wanaotaka kuona kuwa sina hatia, wapaaze sauti kwa furaha waseme daima: “Mwenyezi-Mungu ni mkuu mno! Hupendezwa na fanaka ya mtumishi wake.” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu27 Wale wanaofurahia hukumu yangu ya haki wapige kelele za shangwe na furaha; hebu waseme siku zote, “Mwenyezi Mungu atukuzwe, ambaye amefurahia mafanikio ya mtumishi wake.” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu27 Wale wanaofurahia hukumu yangu ya haki wapige kelele za shangwe na furaha; hebu waseme siku zote, “bwana atukuzwe, ambaye amefurahia mafanikio ya mtumishi wake.” Tazama sura |