Zaburi 35:20 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC20 Maana hawasemi maneno ya amani, Ila juu ya watulivu wa nchi huwaza hila. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema20 Maneno wasemayo si ya amani, wanazua maneno ya hila dhidi ya wananchi watulivu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND20 Maneno wasemayo si ya amani, wanazua maneno ya hila dhidi ya wananchi watulivu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza20 Maneno wasemayo si ya amani, wanazua maneno ya hila dhidi ya wananchi watulivu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu20 Hawazungumzi kwa amani, bali wanatunga mashtaka ya uongo dhidi ya wale wanaoishi kwa utulivu katika nchi. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu20 Hawazungumzi kwa amani, bali wanatunga mashtaka ya uongo dhidi ya wale wanaoishi kwa utulivu katika nchi. Tazama sura |