Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Zaburi 35:20 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

20 Maana hawasemi maneno ya amani, Ila juu ya watulivu wa nchi huwaza hila.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

20 Maneno wasemayo si ya amani, wanazua maneno ya hila dhidi ya wananchi watulivu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

20 Maneno wasemayo si ya amani, wanazua maneno ya hila dhidi ya wananchi watulivu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

20 Maneno wasemayo si ya amani, wanazua maneno ya hila dhidi ya wananchi watulivu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

20 Hawazungumzi kwa amani, bali wanatunga mashtaka ya uongo dhidi ya wale wanaoishi kwa utulivu katika nchi.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

20 Hawazungumzi kwa amani, bali wanatunga mashtaka ya uongo dhidi ya wale wanaoishi kwa utulivu katika nchi.

Tazama sura Nakili




Zaburi 35:20
15 Marejeleo ya Msalaba  

Maana nimesikia wengi wakinong'onezana; Hofu katika pande zote. Waliposhauriana juu yangu, Walipanga kunitoa uhai wangu.


Nao wanaoutafuta uhai wangu hutega mitego; Nao wanaotaka kunidhuru hunena mabaya; Na kufikiri hila mchana kutwa.


Ulimi wako watunga madhara, Kama wembe mkali, Ewe mwenye hila.


Lakini mimi nilikuwa kama mwana-kondoo mpole, achukuliwaye kwenda kuchinjwa; wala sikujua ya kuwa wamefanya mashauri kinyume changu, wakisema, Na tuuharibu mti pamoja na matunda yake, na tumkatilie mbali atoke katika nchi ya walio hai, ili jina lake lisikumbukwe tena.


Ndipo wale watu wakasema, Hatutapata sababu ya kumshitaki Danieli huyo, tusipoipata katika mambo ya sheria ya Mungu wake.


Hatateta wala hatapaza sauti yake; Wala mtu hatasikia sauti yake njiani.


Lakini Mafarisayo waliposikia, walisema, Huyu hatoi pepo, ila kwa Beelzebuli mkuu wa pepo.


wakafanya shauri pamoja, ili wamkamate Yesu kwa hila na kumwua.


Basi sasa ninyi pamoja na wazee wa baraza mwambieni jemadari amlete chini kwenu, kana kwamba mnataka kujua habari zake vizuri zaidi; na sisi tuko tayari kumwua kabla hajakaribia.


na kumwomba fadhili juu yake, kwamba atoe amri aletwe Yerusalemu, wapate kumwotea na kumwua njiani.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo