Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Zaburi 35:16 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

16 Bila heshima walinidhihaki kupindukia, Wakanisagia meno yao.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

16 Watu ambao huwadhihaki vilema, walinisagia meno yao kwa chuki.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

16 Watu ambao huwadhihaki vilema, walinisagia meno yao kwa chuki.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

16 Watu ambao huwadhihaki vilema, walinisagia meno yao kwa chuki.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

16 Kama watu wasiomcha Mungu, wamenidhihaki, wamenisagia meno.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

16 Kama watu wasiomcha Mungu, wamenidhihaki, wamenisagia meno.

Tazama sura Nakili




Zaburi 35:16
8 Marejeleo ya Msalaba  

Amenirarua katika ghadhabu zake, na kunionea; Amesagasaga meno juu yangu; Mtesi wangu hunikazia macho makali.


Asiye haki hunuia mabaya juu ya mwenye haki, Na kumsagia meno yake.


Juu yako adui zako wote Wamepanua vinywa vyao; Huzomea, husaga meno yao, Husema, Tumemmeza; Hakika siku hii ndiyo tuliyoitazamia; Tumeipata, tumeiona.


Kisha wakamchukua Yesu kutoka kwa Kayafa mpaka Praitorio, nayo ikawa alfajiri; lakini wao wenyewe hawakuingia ndani ya ile Praitorio, wasije wakanajisika, bali wapate kuila Pasaka.


Basi waliposikia maneno haya, wakachomwa mioyo, wakamsagia meno.


basi na tuifanye karamu, si kwa chachu ya kale, wala kwa chachu ya uovu na ubaya, bali kwa yasiyochachika, ndio weupe wa moyo na kweli.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo