Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Zaburi 35:14 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

14 Nilisikitika kana kwamba ni rafiki au ndugu yangu, Niliinama nikilia kama aliyefiwa na mamaye.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

14 kana kwamba namlilia rafiki au ndugu yangu. Nilikwenda huko na huko kwa huzuni, kama mtu anayeomboleza kifo cha mama yake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

14 kana kwamba namlilia rafiki au ndugu yangu. Nilikwenda huko na huko kwa huzuni, kama mtu anayeomboleza kifo cha mama yake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

14 kana kwamba namlilia rafiki au ndugu yangu. Nilikwenda huko na huko kwa huzuni, kama mtu anayeomboleza kifo cha mama yake.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

14 niliendelea kuomboleza kama vile wao ni rafiki au ndugu. Niliinamisha kichwa chini kwa huzuni kama ninayemwombolezea mama yangu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

14 niliendelea kuomboleza kama vile wao ni rafiki au ndugu. Niliinamisha kichwa chini kwa huzuni kama ninayemwombolezea mama yangu.

Tazama sura Nakili




Zaburi 35:14
6 Marejeleo ya Msalaba  

Isaka akamwingiza Rebeka katika hema ya mama yake, Sara, akamtwaa Rebeka, akawa mkewe, akampenda; Isaka akafarijika kwa ajili ya kufa kwa mama yake.


Nimejipinda na kuinama sana, Mchana kutwa ninaenda nikiomboleza.


Ila Paulo akapaza sauti yake kwa nguvu, akisema, Usijidhuru, kwa maana sisi sote tuko hapa.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo