Zaburi 35:13 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC13 Bali mimi, walipougua wao, Nguo yangu ilikuwa gunia. Nilijitesa nafsi yangu kwa kufunga; Maombi yangu yakarejea kifuani mwangu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema13 Lakini wao walipokuwa wagonjwa, mimi nilivaa magunia kuonesha huzuni; nilijitesa kwa kujinyima chakula. Nilisali nikiwa nimeinamisha kichwa, Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND13 Lakini wao walipokuwa wagonjwa, mimi nilivaa magunia kuonesha huzuni; nilijitesa kwa kujinyima chakula. Nilisali nikiwa nimeinamisha kichwa, Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza13 Lakini wao walipokuwa wagonjwa, mimi nilivaa magunia kuonesha huzuni; nilijitesa kwa kujinyima chakula. Nilisali nikiwa nimeinamisha kichwa, Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu13 Lakini walipokuwa wagonjwa, nilivaa gunia na nikajinyenyekeza kwa kufunga. Maombi yangu yaliponirudia bila kujibiwa, Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu13 Lakini walipokuwa wagonjwa, nilivaa nguo ya gunia na nikajinyenyekesha kwa kufunga. Maombi yangu yaliponirudia bila kujibiwa, Tazama sura |