Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Zaburi 35:12 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

12 Wananilipa mabaya badala ya mema, Hata nafsi yangu ikaingia ukiwa.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

12 Wananilipa mema yangu kwa mabaya; nami binafsi nimebaki katika ukiwa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

12 Wananilipa mema yangu kwa mabaya; nami binafsi nimebaki katika ukiwa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

12 Wananilipa mema yangu kwa mabaya; nami binafsi nimebaki katika ukiwa.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

12 Wananilipa baya kwa jema na kuiacha nafsi yangu ukiwa.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

12 Wananilipa baya kwa jema na kuiacha nafsi yangu ukiwa.

Tazama sura Nakili




Zaburi 35:12
14 Marejeleo ya Msalaba  

Basi Hanuni akawatwaa watumishi wa Daudi, akawanyoa, akawapasulia nguo zao katikati, hadi kiunoni, kisha akawaachilia waondoke.


BWANA, nimekuita nikasema, Ndiwe kimbilio langu, Fungu langu katika nchi ya walio hai.


Naam, wakilipa mabaya kwa mema, Huwa adui zangu kwa kuwa nilifuata lililo jema.


Wewe, BWANA, usiniache, Mungu wangu, usijitenge nami.


Yeye arudishaye mabaya badala ya mema, Mabaya hayataondoka nyumbani mwake.


Je! Mabaya yalipwe badala ya mema? Maana wameichimbia nafsi yangu shimo. Kumbuka jinsi nilivyosimama mbele zako, ili niseme mema kwa ajili yao, nikaigeuze ghadhabu yako isiwapate.


Yesu akawajibu, Kazi njema nyingi nimewaonesha, zitokazo kwa Baba; kwa ajili ya kazi ipi katika hizo mnanipiga kwa mawe?


Basi Sauli akawatuma hao wajumbe ili wamtazame Daudi, akisema, Mleteni kwangu juu ya kitanda chake, nipate kumwua.


Basi Daudi alikuwa amesema, Hakika ni bure nilivyokuwa nikilinda nyikani yote aliyo nayo mtu huyu, asipotewe na kitu chochote cha mali yake yote; naye amenilipa mabaya badala ya mema.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo