Zaburi 34:9 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC9 Mcheni BWANA, enyi watakatifu wake, Maana, wamchao hawapungukiwi kitu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema9 Mcheni Mwenyezi-Mungu enyi watakatifu wake; maana wenye kumcha hawatindikiwi na kitu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND9 Mcheni Mwenyezi-Mungu enyi watakatifu wake; maana wenye kumcha hawatindikiwi na kitu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza9 Mcheni Mwenyezi-Mungu enyi watakatifu wake; maana wenye kumcha hawatindikiwi na kitu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu9 Mcheni Mwenyezi Mungu enyi watakatifu wake, kwa maana wale wamchao hawapungukiwi na chochote. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu9 Mcheni bwana enyi watakatifu wake, kwa maana wale wamchao hawapungukiwi na chochote. Tazama sura |