Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Zaburi 34:20 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

20 Huihifadhi mifupa yake yote, Usivunjike hata mmoja.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

20 Huvilinda viungo vya mwili wake wote, hakuna hata mfupa wake mmoja utakaovunjwa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

20 Huvilinda viungo vya mwili wake wote, hakuna hata mfupa wake mmoja utakaovunjwa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

20 Huvilinda viungo vya mwili wake wote, hakuna hata mfupa wake mmoja utakaovunjwa.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

20 huhifadhi mifupa yake yote, hata mmoja hautavunjika.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

20 huhifadhi mifupa yake yote, hata mmoja hautavunjika.

Tazama sura Nakili




Zaburi 34:20
9 Marejeleo ya Msalaba  

Yeye atakuokoa na mateso sita; Naam, hata katika saba hapana uovu utakaokugusa.


Mifupa yangu yote itasema, BWANA, ni nani aliye kama Wewe? Umponyaye maskini kutoka kwa mtu aliye hodari kumshinda yeye, Naam, maskini na mhitaji na mtu amtekaye.


Na wokovu wa wenye haki una BWANA; Yeye ni ngome yao wakati wa taabu.


Naye BWANA huwasaidia na kuwaopoa; Huwaopoa kutoka kwa wasio haki na kuwaponya; Kwa kuwa wamemtumaini Yeye.


Mikononi mwao watakuchukua, Usije ukajikwaa mguu wako katika jiwe.


Katika kosa la midomo kuna mtego kwa mbaya; Bali mwenye haki atatoka katika taabu.


Kwa maana hayo yalitukia ili andiko litimie, Hapana mfupa wake utakaovunjwa.


Tena, angalia, kama vile maisha yako yalivyokuwa na thamani machoni pangu, kadhalika na maisha yangu na yawe na thamani machoni pa BWANA, akaniokoe katika shida zote.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo