Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Zaburi 34:2 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

2 Katika BWANA nafsi yangu itajisifu, Wanyenyekevu wasikie na kufurahi.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

2 Mimi nitaona fahari juu ya Mwenyezi-Mungu, wanyonge wasikie na kufurahi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

2 Mimi nitaona fahari juu ya Mwenyezi-Mungu, wanyonge wasikie na kufurahi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

2 Mimi nitaona fahari juu ya Mwenyezi-Mungu, wanyonge wasikie na kufurahi.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

2 Nafsi yangu itajisifu katika Mwenyezi Mungu, walioonewa watasikia na wafurahi.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

2 Nafsi yangu itajisifu katika bwana, walioonewa watasikia na wafurahi.

Tazama sura Nakili




Zaburi 34:2
12 Marejeleo ya Msalaba  

akasema, Mimi nilitoka tumboni mwa mama yangu nikiwa uchi, nami nitarudi tena huko uchi vile vile; BWANA alitoa, na BWANA ametwaa; jina la BWANA na libarikiwe.


Jisifuni kwa jina lake takatifu, Na ufurahi moyo wao wamtafutao BWANA.


Wakuchao na wanione na kufurahi, Kwa sababu nimelitumainia neno lako.


Uitoe nafsi yangu kifungoni. Nipate kulishukuru jina lako. Wenye haki watanizunguka, Kwa kuwa Wewe unanikirimu.


Tumejisifia Mungu mchana kutwa, Na jina lako tutalishukuru milele.


Katika BWANA wazao wote wa Israeli watapewa haki, na kutukuka.


bali ajisifuye na ajisifu kwa sababu hii, ya kwamba ananifahamu mimi, na kunijua, ya kuwa mimi ni BWANA, nitendaye wema, na hukumu, na haki, katika nchi; maana mimi napendezwa na mambo hayo, asema BWANA,


kusudi, kama ilivyoandikwa, Yeye aonaye fahari na aone fahari juu ya Bwana.


Lakini, Yeye ajisifuye, na ajisifu katika Bwana.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo