Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Zaburi 34:17 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

17 Walilia, naye BWANA akasikia, Akawaponya kutoka kwa taabu zao zote.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

17 Waadilifu wakimlilia Mwenyezi-Mungu yeye huwasikia, na kuwaokoa katika taabu zao zote.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

17 Waadilifu wakimlilia Mwenyezi-Mungu yeye huwasikia, na kuwaokoa katika taabu zao zote.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

17 Waadilifu wakimlilia Mwenyezi-Mungu yeye huwasikia, na kuwaokoa katika taabu zao zote.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

17 Wenye haki hulia, naye Mwenyezi Mungu huwasikia, huwaokoa katika taabu zao zote.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

17 Wenye haki hulia, naye bwana huwasikia, huwaokoa katika taabu zao zote.

Tazama sura Nakili




Zaburi 34:17
17 Marejeleo ya Msalaba  

Katika siku hizo Hezekia akaugua akawa katika hatari ya kufa; akamwomba BWANA; naye akasema naye, akampa ishara.


Tazama, Mungu hatamtupa mtu mkamilifu, Wala hatawathibitisha watendao uovu.


Ziwe mbele za BWANA daima, Aliondoe kumbukumbu lao duniani.


Macho ya BWANA huwaelekea wenye haki, Na masikio yake hukielekea kilio chao.


Mateso ya mwenye haki ni mengi, Lakini BWANA kutoka kwayo yote.


Maskini huyu aliita, BWANA akasikia, Akamwokoa na taabu zake zote.


Bali mimi, kwa wingi wa fadhili zako, Nitaingia nyumbani mwako; Na kusujudu kwa kicho, Nikilielekea hekalu lako takatifu.


Adui wameangamia na kuwa magofu milele. Nayo miji yao uliing'oa; Hata kumbukumbu lao limepotea.


Ataniita nami nitamwitikia; Nitakuwa pamoja naye taabuni, Nitamwokoa na kumtukuza;


Kuwakumbuka wenye haki huwa na baraka; Bali jina la mtu mwovu litaoza.


Na itakuwa ya kwamba, kabla hawajaomba, nitajibu; na wakiwa bado wanena, nitasikia.


nami nitaukaza uso wangu juu ya mtu yule, na kumfanya kuwa ajabu, awe ishara na mithali, nami nitamkatilia mbali, asiwe kati ya watu wangu; nanyi mtajua ya kuwa mimi ndimi BWANA.


Nao wajapokwenda kuwa mateka mbele ya adui zao, nitauagiza upanga huko, nao utawaua; nami nitawaelekezea macho yangu niwatende mabaya, wala si mema.


Nilisema, Ningewatawanyia mbali, Ningekomesha kumbukumbu lao kati ya wanadamu;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo