Zaburi 34:17 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC17 Walilia, naye BWANA akasikia, Akawaponya kutoka kwa taabu zao zote. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema17 Waadilifu wakimlilia Mwenyezi-Mungu yeye huwasikia, na kuwaokoa katika taabu zao zote. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND17 Waadilifu wakimlilia Mwenyezi-Mungu yeye huwasikia, na kuwaokoa katika taabu zao zote. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza17 Waadilifu wakimlilia Mwenyezi-Mungu yeye huwasikia, na kuwaokoa katika taabu zao zote. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu17 Wenye haki hulia, naye Mwenyezi Mungu huwasikia, huwaokoa katika taabu zao zote. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu17 Wenye haki hulia, naye bwana huwasikia, huwaokoa katika taabu zao zote. Tazama sura |