Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Zaburi 33:9 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

9 Maana Yeye alisema, na ikawa; Na Yeye aliamuru, ikaumbika.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

9 Maana alisema na ulimwengu ukawako; alitoa amri nao ukajitokeza.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

9 Maana alisema na ulimwengu ukawako; alitoa amri nao ukajitokeza.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

9 Maana alisema na ulimwengu ukawako; alitoa amri nao ukajitokeza.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

9 Kwa maana Mungu alisema, na ikawa, aliamuru na ikasimama imara.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

9 Kwa maana Mungu alisema, na ikawa, aliamuru na ikasimama imara.

Tazama sura Nakili




Zaburi 33:9
11 Marejeleo ya Msalaba  

Hapo mwanzo Mungu aliziumba mbingu na nchi.


Mungu akasema, Iwe nuru; ikawa nuru.


Kwa neno la BWANA mbingu ziliumbwa, Na jeshi lake lote kwa pumzi ya kinywa chake.


Shuhuda zako ni amini sana; Utakatifu ndio uifaao nyumba yako, Ee BWANA, milele na milele.


Ni nani asemaye neno nalo likafanyika, Ikiwa Bwana hakuliagiza?


Yeye kwa kuwa ni mng'ao wa utukufu wa Mungu na chapa kamili ya nafsi yake, akivichukua vyote kwa amri ya uweza wake, akiisha kufanya utakaso wa dhambi, aliketi katika mkono wa kulia wa Ukuu huko juu;


Kwa imani twafahamu ya kuwa ulimwengu uliumbwa kwa neno la Mungu, hata vitu vinavyoonekana havikufanywa kwa vitu vilivyo dhahiri.


Umestahili wewe, Bwana wetu na Mungu wetu, kuupokea utukufu na heshima na uweza; kwa kuwa wewe ndiwe uliyeviumba vitu vyote, na kwa sababu ya mapenzi yako vilikuwako, navyo vikaumbwa.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo