Zaburi 33:4 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC4 Kwa kuwa neno la BWANA lina adili, Na kazi yake yote huitenda kwa uaminifu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema4 Neno la Mwenyezi-Mungu ni la kweli; na matendo yake yote ni ya kuaminika. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND4 Neno la Mwenyezi-Mungu ni la kweli; na matendo yake yote ni ya kuaminika. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza4 Neno la Mwenyezi-Mungu ni la kweli; na matendo yake yote ni ya kuaminika. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu4 Maana neno la Mwenyezi Mungu ni haki na kweli, ni mwaminifu kwa yote atendayo. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu4 Maana neno la bwana ni haki na kweli, ni mwaminifu kwa yote atendayo. Tazama sura |