Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Zaburi 33:3 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

3 Mwimbieni wimbo mpya, Pigeni kwa ustadi kwa sauti ya shangwe.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

3 Mwimbieni wimbo mpya; pigeni kinubi vizuri na kushangilia.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

3 Mwimbieni wimbo mpya; pigeni kinubi vizuri na kushangilia.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

3 Mwimbieni wimbo mpya; pigeni kinubi vizuri na kushangilia.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

3 Mwimbieni wimbo mpya; pigeni kwa ustadi, na mpaze sauti za shangwe.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

3 Mwimbieni wimbo mpya; pigeni kwa ustadi, na mpaze sauti za shangwe.

Tazama sura Nakili




Zaburi 33:3
15 Marejeleo ya Msalaba  

Wakacheza Daudi na Israeli wote, mbele za Mungu, kwa nguvu zao zote; na kwa nyimbo na kwa vinubi, na kwa vinanda, na kwa matari, na kwa matoazi, na kwa tarumbeta.


waongoze. Na Kenania, mkuu wa Walawi katika uimbaji, asimamie uimbaji, kwa sababu alikuwa stadi.


Na hesabu yao, pamoja na ndugu zao waliofundishwa kumwimbia BWANA, wote waliokuwa mastadi, walikuwa mia mbili na themanini na wanane.


Nao watu wakatenda kazi kwa uaminifu; na wasimamizi wao walikuwa Yahathi na Obadia, Walawi, wa wana wa Merari; na Zekaria na Meshulamu, wa wana wa Wakohathi, ili kuihimiza kazi; na wengine katika Walawi, wote waliokuwa mastadi wa kupiga vinanda.


Ee Mungu, nitakuimbia wimbo mpya, Kwa kinanda chenye nyuzi kumi nitakuimbia.


Haleluya. Mwimbieni BWANA wimbo mpya, Sifa zake katika kusanyiko la watauwa.


Akatia wimbo mpya kinywani mwangu, Ndio sifa zake Mungu wetu. Wengi wataona na kuogopa, Nao watamtumainia BWANA.


Heri aliyemfanya BWANA kuwa tumaini lake, Wala hakuwaelekea wenye kiburi, Wala hao wanaogeukia uongo.


Mwimbieni BWANA wimbo mpya, Mwimbieni BWANA, nchi yote.


Mwimbieni BWANA wimbo mpya, Kwa maana ametenda mambo ya ajabu. Mkono wa kulia, Na mkono wake mtakatifu umemtendea wokovu.


Mwimbieni BWANA wimbo mpya, Na sifa zake tokea mwisho wa dunia; Ninyi mshukao baharini, na vyote vilivyomo, Na visiwa, nao wakaao humo.


mkisemezana kwa zaburi na tenzi na nyimbo za rohoni, huku mkiimba na kumshangilia Bwana mioyoni mwenu;


Neno la Kristo na likae kwa wingi ndani yenu katika hekima yote, mkifundishana na kuonyana kwa zaburi, na nyimbo, na tenzi za rohoni; huku mkimwimbia Mungu kwa neema mioyoni mwenu.


na kuimba wimbo mpya mbele ya kile kiti cha enzi, na mbele ya wale wenye uhai wanne, na wale wazee; wala hakuna mtu aliyeweza kujifunza wimbo ule, ila wale elfu mia moja na arubaini na nne, walionunuliwa katika nchi.


Nao waimba wimbo mpya wakisema, Wastahili wewe kukitwaa hicho kitabu na kuifungua mihuri yake; kwa kuwa ulichinjwa, ukawa fidia kwa Mungu na kwa damu yako watu wa kila kabila na lugha na jamaa na taifa,


Tufuate:

Matangazo


Matangazo