Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Zaburi 33:19 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

19 Ili kuwaponya nafsi zao kutoka kwa mauti, Na kuwahuisha wakati wa njaa.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

19 Yeye huwaokoa katika kifo, huwaweka hai wakati wa njaa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

19 Yeye huwaokoa katika kifo, huwaweka hai wakati wa njaa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

19 Yeye huwaokoa katika kifo, huwaweka hai wakati wa njaa.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

19 ili awaokoe na mauti, na kuwahifadhi wakati wa njaa.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

19 ili awaokoe na mauti, na kuwahifadhi wakati wa njaa.

Tazama sura Nakili




Zaburi 33:19
13 Marejeleo ya Msalaba  

Amewapa wamchao chakula; Atalikumbuka agano lake milele.


Wanasimba hutindikiwa, na kuona njaa; Bali wamtafutao BWANA hawapungukiwi kitu chochote kilicho chema.


Hawataaibika wakati wa ubaya, Na siku za njaa watashiba.


Umtumaini BWANA ukatende mema, Ukae katika nchi, upendezwe na uaminifu.


Mabaya hayatakupata wewe, Wala tauni haitaikaribia hema yako.


BWANA hataiacha nafsi ya mwenye haki ife na njaa; Bali tamaa ya mtu mwovu huisukumia mbali.


Huyu ndiye atakayekaa juu; majabali ni ngome yake; atapewa chakula chake; maji yake hayatakoma.


Nami nawapa uzima wa milele; wala hawatapotea kamwe; wala hakuna mtu atakayewapokonya katika mkono wangu.


Mimi na Baba tu mmoja.


Ndipo Petro alipopata fahamu akasema, Sasa nimejua hakika kuwa Bwana amemtuma malaika wake na kunitoa katika mkono wa Herode na katika kutazamia kote kwa taifa la Wayahudi.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo