Zaburi 33:17 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC17 Farasi hafai kitu kwa wokovu, Wala hamponyi mtu kwa wingi wa nguvu zake. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema17 Farasi wa vita hafai kitu kwa kupata ushindi; nguvu zake nyingi haziwezi kumwokoa mtu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND17 Farasi wa vita hafai kitu kwa kupata ushindi; nguvu zake nyingi haziwezi kumwokoa mtu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza17 Farasi wa vita hafai kitu kwa kupata ushindi; nguvu zake nyingi haziwezi kumwokoa mtu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu17 Farasi ni tumaini la bure kwa wokovu, licha ya nguvu zake nyingi, hawezi kuokoa. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu17 Farasi ni tumaini la bure kwa wokovu, licha ya nguvu zake nyingi, hawezi kuokoa. Tazama sura |