Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Zaburi 33:15 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

15 Yeye aiumbaye mioyo yao wote Na kuziona kazi zao zote.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

15 Yeye huunda mioyo ya watu wote, yeye ajua kila kitu wanachofanya.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

15 Yeye huunda mioyo ya watu wote, yeye ajua kila kitu wanachofanya.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

15 Yeye huunda mioyo ya watu wote, yeye ajua kila kitu wanachofanya.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

15 yeye ambaye huumba mioyo yao wote, ambaye huangalia kila kitu wanachokitenda.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

15 yeye ambaye huumba mioyo yao wote, ambaye huangalia kila kitu wanachokitenda.

Tazama sura Nakili




Zaburi 33:15
14 Marejeleo ya Msalaba  

Mikono yako imeniumba na kunifinyanga; Nawe utageuka na kuniangamiza?


Kwa kuwa yeye awajua watu baradhuli; Anapouona uovu, je; hatauangalia?


Je! Mungu hangegundua jambo hilo? Maana ndiye azijuaye siri za moyo.


Tajiri na maskini hukutana pamoja; BWANA ndiye aliyewaumba wote wawili.


Ukisema, Sisi hatukujua hayo; Je! Yeye aipimaye mioyo siye afahamuye? Naye ailindaye nafsi yako siye ajuaye? Je! Hatamlipa kila mtu sawasawa na kazi yake?


Kama uso ufananavyo na uso katika maji; Kadhalika moyo wa mtu na mwenzake.


Tazama, hili tu nimeliona; Mungu amemfanya mwanadamu mnyofu, lakini wamepanga mipango mingi.


Lakini sasa, Ee BWANA, wewe u baba yetu; sisi tu udongo, nawe u mfinyanzi wetu; sisi sote tu kazi ya mikono yako.


Maana macho yangu yaziangalia njia zao zote, hawakufichwa uso wangu usiwaone, wala haukusitirika uovu wao macho yangu yasiuone.


mkuu wa mashauri, muweza katika kutenda; ambaye macho yake yamefumbuka juu ya njia zote za wanadamu, kumpa kila mtu kwa kadiri ya njia zake, na kwa kadiri ya matunda ya matendo yake,


Wala hawafikiri mioyoni mwao ya kwamba naukumbuka uovu wao wote; sasa matendo yao wenyewe yamewazunguka pande zote; yako mbele za uso wangu.


Naye alifanya kila taifa la wanadamu kutoka katika mmoja, wakae juu ya uso wa nchi yote, akiisha kuwawekea nyakati alizoziamuru tangu zamani, na mipaka ya makazi yao;


Basi ninyi msihukumu neno kabla ya wakati wake, hata ajapo Bwana; ambaye atayamulika yaliyositirika katika giza, na kuyadhihirisha mashauri ya mioyo; ndipo kila mtu atakapoipata sifa yake kwa Mungu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo