Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Zaburi 32:9 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

9 Msiwe kama farasi wala nyumbu, Wasiokuwa na akili. Kwa matandiko ya lijamu na hatamu Sharti kuwazuia hao, au hawatakukaribia.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

9 Usiwe mpumbavu kama farasi au nyumbu, ambao lazima wafungwe lijamu na hatamu, la sivyo hawatakukaribia.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

9 Usiwe mpumbavu kama farasi au nyumbu, ambao lazima wafungwe lijamu na hatamu, la sivyo hawatakukaribia.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

9 Usiwe mpumbavu kama farasi au nyumbu, ambao lazima wafungwe lijamu na hatamu, la sivyo hawatakukaribia.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

9 Usiwe kama farasi au nyumbu wasio na akili, ambao ni lazima waongozwe kwa lijamu na hatamu la sivyo hawatakukaribia.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

9 Usiwe kama farasi au nyumbu wasio na akili, ambao ni lazima waongozwe kwa lijamu na hatamu la sivyo hawatakukaribia.

Tazama sura Nakili




Zaburi 32:9
9 Marejeleo ya Msalaba  

Kwani ameilegeza kamba yake, na kunitesa, Wala hawajizuii tena mbele yangu.


Atufundishaye zaidi ya wanyama wa nchi, Na kutufanya wenye hekima kuliko ndege wa angani?


Ni nani awezaye kumbambua magamba yake? Ni nani atakayepenya dirii yake maradufu?


Mjeledi kwa farasi, lijamu kwa punda, Na fimbo kwa mgongo wa mpumbavu.


Hakika nimemsikia Efraimu, akijililia hivi, Umeniadhibu, nami nikaadhibika, kama ndama asiyeizoea nira; unigeuze, nami nitageuka; kwa maana wewe u BWANA, Mungu wangu.


Kwa maana watu wangu ni wapumbavu, hawanijui; ni watoto waliopungukiwa na akili, wala hawana ufahamu; ni wenye akili katika kutenda mabaya, bali katika kutenda mema hawana maarifa.


Angalieni, twatia lijamu katika vinywa vya farasi, ili watutii, hivi twageuza mwili wao wote.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo