Zaburi 32:6 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC6 Kwa hiyo, hebu kila akuaminiye Akuombe awapo katika dhiki. Hakika maji makuu yafurikapo, Hayatamfikia yeye. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema6 Kwa hiyo, kila mwaminifu na akuletee maombi; jeshi likaribiapo au mafuriko, hayo hayatamfikia yeye. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND6 Kwa hiyo, kila mwaminifu na akuletee maombi; jeshi likaribiapo au mafuriko, hayo hayatamfikia yeye. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza6 Kwa hiyo, kila mwaminifu na akuletee maombi; jeshi likaribiapo au mafuriko, hayo hayatamfikia yeye. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu6 Kwa hiyo kila mtu mcha Mungu akuombe wakati unapopatikana, hakika maji makuu yatakapofurika hayatamfikia yeye. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu6 Kwa hiyo kila mtu mcha Mungu akuombe wakati unapopatikana, hakika maji makuu yatakapofurika hayatamfikia yeye. Tazama sura |