Zaburi 32:4 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC4 Kwa maana mchana na usiku Mkono wako ulinilemea. Jasho langu likakauka hata nikawa Kama nchi kavu wakati wa kaskazi. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema4 Mchana na usiku mkono wako ulinilemea; nikafyonzwa nguvu zangu, kama maji wakati wa kiangazi. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND4 Mchana na usiku mkono wako ulinilemea; nikafyonzwa nguvu zangu, kama maji wakati wa kiangazi. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza4 Mchana na usiku mkono wako ulinilemea; nikafyonzwa nguvu zangu, kama maji wakati wa kiangazi. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu4 Usiku na mchana mkono wako ulinilemea, nguvu zangu zilinyonywa kama vile katika joto la kiangazi. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu4 Usiku na mchana mkono wako ulinilemea, nguvu zangu zilinyonywa kama vile katika joto la kiangazi. Tazama sura |