Zaburi 32:11 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC11 Mfurahieni BWANA; Shangilieni, enyi wenye haki Pigeni vigelegele vya furaha; Ninyi nyote mlio wanyofu wa moyo. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema11 Furahini na kushangilia kwa sababu ya Mwenyezi-Mungu enyi waadilifu; pigeni vigelegele vya shangwe enyi wanyofu wa moyo. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND11 Furahini na kushangilia kwa sababu ya Mwenyezi-Mungu enyi waadilifu; pigeni vigelegele vya shangwe enyi wanyofu wa moyo. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza11 Furahini na kushangilia kwa sababu ya Mwenyezi-Mungu enyi waadilifu; pigeni vigelegele vya shangwe enyi wanyofu wa moyo. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu11 Shangilieni katika Mwenyezi Mungu na mfurahi, enyi wenye haki! Imbeni, nyote mlio wanyofu wa moyo! Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu11 Shangilieni katika bwana na mfurahi, enyi wenye haki! Imbeni, nyote mlio wanyofu wa moyo! Tazama sura |