Zaburi 32:10 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC10 Naye mtu mwovu ana mapigo mengi, Bali amtumainiaye BWANA fadhili zitamzunguka. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema10 Watu waovu watapata mateso mengi, bali wanaomtumainia Mwenyezi-Mungu wazungukwa na fadhili zake. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND10 Watu waovu watapata mateso mengi, bali wanaomtumainia Mwenyezi-Mungu wazungukwa na fadhili zake. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza10 Watu waovu watapata mateso mengi, bali wanaomtumainia Mwenyezi-Mungu wazungukwa na fadhili zake. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu10 Mtu mwovu ana taabu nyingi, bali upendo usio na kikomo wa Mwenyezi Mungu unamzunguka mtu anayemtumaini. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu10 Mtu mwovu ana taabu nyingi, bali upendo usio na kikomo wa bwana unamzunguka mtu anayemtumaini. Tazama sura |