Zaburi 31:5 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC5 Mikononi mwako naiweka roho yangu; Umenikomboa, Ee BWANA, Mungu wa kweli. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema5 Mikononi mwako naiweka roho yangu; umenikomboa, ee Mwenyezi-Mungu, Mungu mwaminifu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND5 Mikononi mwako naiweka roho yangu; umenikomboa, ee Mwenyezi-Mungu, Mungu mwaminifu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza5 Mikononi mwako naiweka roho yangu; umenikomboa, ee Mwenyezi-Mungu, Mungu mwaminifu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu5 Ninaikabidhi roho yangu mikononi mwako, unikomboe Ee Mwenyezi Mungu, uliye Mungu wa kweli. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu5 Ninaikabidhi roho yangu mikononi mwako, unikomboe Ee bwana, uliye Mungu wa kweli. Tazama sura |
Basi, nilipokuja, mbona hapakuwa na mtu? Nilipoita, mbona hapakuwa na mtu aliyenijibu? Je! Mkono wangu ni mfupi, hata nisiweze kukomboa? Au je! Mimi sina nguvu za kuponya? Tazama, kwa kukemea kwangu naikausha bahari, mito ya maji naifanya kuwa jangwa; samaki wao wanuka kwa sababu hapana maji, nao wafa kwa kiu.