Zaburi 31:17 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC17 Ee BWANA, nisiaibishwe, maana nimekuita; Waaibishwe wasio haki, wanyamaze kuzimuni. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema17 Usiniache niaibike ee Mwenyezi-Mungu, maana mimi ninakuomba; lakini waache waovu waaibike, waache wapotelee kwa mshangao huko kuzimu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND17 Usiniache niaibike ee Mwenyezi-Mungu, maana mimi ninakuomba; lakini waache waovu waaibike, waache wapotelee kwa mshangao huko kuzimu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza17 Usiniache niaibike ee Mwenyezi-Mungu, maana mimi ninakuomba; lakini waache waovu waaibike, waache wapotelee kwa mshangao huko kuzimu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu17 Usiniache niaibike, Ee Mwenyezi Mungu, kwa maana nimekulilia wewe, bali waovu waaibishwe na kunyamazishwa Kuzimu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu17 Usiniache niaibike, Ee bwana, kwa maana nimekulilia wewe, bali waovu waaibishwe na kunyamazishwa Kuzimu. Tazama sura |