Zaburi 31:14 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC14 Lakini mimi nakutumaini Wewe, BWANA, Nimesema, Wewe ndiwe Mungu wangu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema14 Lakini mimi nakutumainia wewe, ee Mwenyezi-Mungu. Nasema: “Wewe ni Mungu wangu!” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND14 Lakini mimi nakutumainia wewe, ee Mwenyezi-Mungu. Nasema: “Wewe ni Mungu wangu!” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza14 Lakini mimi nakutumainia wewe, ee Mwenyezi-Mungu. Nasema: “Wewe ni Mungu wangu!” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu14 Lakini mimi ninakutumaini wewe peke yako, Ee Mwenyezi Mungu; nimesema, “Wewe ndiwe Mungu wangu.” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu14 Lakini mimi ninakutumaini wewe peke yako, Ee bwana; nimesema, “Wewe ndiwe Mungu wangu.” Tazama sura |